
Ndoto huotwa ili ziandamwe. Maisha yanakusudiwa kuishiwa. Baadhi ya vitabu huandikwa ili visomwe, vipendwe na virithiwe na vizazi.
Mualkemia ni kitabu kimojawapo cha vitabu kama hivi.
Mualkemia ni hadithi ya ndoto ya mvulana mchungaji wa mifugo kutoka eneo la Andalusia, nchini Uhispania. Mvulana huyu anasa ri katika maeneo mengi yakiwemo masoko ya ajabu ya Afrika Kaskazini na baadaye kwenye jangwa nchini Misri. Mualkemia anamsubiri kwenye jangwa hili. Je, ataizimua ndoto yake?
'Vitabu vyake vimekuwa na athari ya kuimarisha maisha kwa mamilioni ya watu' Gazeti la The Times
A „Mualkemia” az „Alkimista” szuahéli fordítása; Paulo Coelho remekműve, amely Santiago, egy andalúz pásztorfiú misztikus történetét meséli el, aki egy világi kincset keresve utazni vágyik. Keresése olyan gazdagsághoz vezet, amely sokkal másabb - és sokkal kielégítőbb -, mint azt valaha is gondolta volna. Santiago útja megtanít bennünket arra, hogy milyen alapvető bölcsesség a szívünkre hallgatni, felismerni a lehetőségeket, megtanulni olvasni az életút mentén elszórt előjeleket, és ami a legfontosabb, követni az álmainkat.